Papa Honorius II
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Honorius II (takriban 1036 – 13 Februari 1130) alikuwa papa kuanzia 21 Desemba 1124 hadi kifo chake. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Lamberto Scannabecchi.
Alimfuata Papa Callixtus II akafuatwa na Papa Innocent II.
Viungo vya nje [hariri]
Papa Honorius II katika Kamusi Elezo ya Kikatoliki
| Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Honorius II kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |