Papa Antero
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Antero alikuwa papa kuanzia 21 Novemba, 235 hadi kifo chake tarehe 3 Januari, 236.
Alimfuata Papa Pontian akafuatwa na Papa Pontian.
Anaheshimiwa kama mtakatifu, ila hakuna hakika kama alifia dini.
Viungo vya nje [hariri]
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
| Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Antero kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |