Papa Alexander VII
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Alexander VII (13 Februari, 1599 – 22 Mei, 1667) alikuwa papa kuanzia 7 Aprili, 1655 hadi kifo chake. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Fabio Chigi. Alimfuata Papa Innocent X.
| Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Alexander VII kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |