Papa Adrian II
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Adrian II (792 – 14 Desemba, 872) alikuwa papa kuanzia 14 Desemba, 867 hadi kifo chake. Alimfuata Papa Nikolasi I.
| Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Adrian II kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |