Papa Silvester II
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Silvester II (takriban 950 – 12 Mei 1003) alikuwa papa kuanzia mwaka wa 999 hadi kifo chake. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Gerbert d'Aurillac.
Alimfuata Papa Gregori V akafuatwa na Papa Yohane XVII.
Viungo vya nje [hariri]
Papa Silvester II katika Kamusi Elezo ya Kikatoliki
| Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Silvester II kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |