Kaunti ya Mandera
Jump to navigation
Jump to search
Kaunti ya Mandera | |||
---|---|---|---|
Kaunti | |||
| |||
Mandera County in Kenya.svg![]() Kaunti ya Mandera katika Kenya | |||
Nchi | ![]() | ||
Namba | 9 | ||
Ilianzishwa | Tarehe 4 Machi, 2013 | ||
Ilitanguliwa na | Mkoa wa Kaskazini Mashariki | ||
Makao Makuu | Mandera | ||
Miji mingine | El Wak | ||
Gavana | Ali Ibrahim Roba | ||
Naibu wa Gavana | Arai Mohamed Ahmed | ||
Seneta | Mohamed Maalim Mahamud | ||
Mbunge Mwanamke(Bunge la Taifa) | Amina Gedow Hassan | ||
Bunge la Kaunti | Bunge la Kaunti ya Mandera | ||
Wawakilishi wa Bunge la Kaunti waliochaguliwa | 30 | ||
Maeneo bunge/Kaunti ndogo | 6 | ||
Eneo | 25,797.7 km2 (9,960.5 sq mi) | ||
Idadi ya watu | 1,025,756 | ||
Kanda muda | Saa za Afrika Mashariki (UTC+3) | ||
Tovuti | mandera.go.ke |
Kaunti ya Mandera ni mojawapo ya kaunti za Kenya zilizopo baada ya katiba mpya ya Jamhuri ya Kenya kupatikana mwaka 2010. Imepakana na Kaunti ya Wajir, na nchi za Somalia na Uhabeshi.
Makao makuu yako Mandera.
Jiografia[hariri | hariri chanzo]
Kaunti hii ina mbuga ya pekee ya Kaskazini Mashariki ya Malka Mari na hifadhi ya kibinafsi ya Chacnabole[1]. Ina vilima vinavyo tandaa kutoka El Wak hadi Uhabeshi ingawa kiasi kikubwa cha ardhi yake ni nchi tambarare. Kuna kanda mbili za ikolojia, kavu na nusu kavu. 95% ya kaunti ni nusu kavu na huwa na vichaka vyenye miiba katika sehemu za chini za vilima[2].
Utawala[hariri | hariri chanzo]
Kaunti ya Mandera imegawanywa katika maeneo yafuatayo[3]:
Eneo Bunge/Kaunti ndogo | Wadi |
---|---|
Mandera West | Takaba South, Takaba, Lagsure, Dandu, Gither |
Banissa | Banissa, Derkhale, Guba, Malkamari, Kiliwehiri |
Mandera North | Ashabito, Guticha, Marothile, Rhamu, Rhamu Dimtu |
Mandera South | Wargadou, Kutulo, Elwak South, Elwak North, Shimbir Fatuma |
Mandera East | Arabia, Libehia, Khalalio, Neboi, Township |
Lafey | Sala, Fino, Lafey, Waranqara, Alango Gof |
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- ↑ "Mandera County", E-Limu, ilipatikana 13-04-2018
- ↑ "KENYA INTER AGENCY RAPID ASSESSMENT MANDERA COUNTY CONFLICT ASSESSMENT REPORT 19TH – 30TH JUNE 2014", Kenya Inter Agency Assessment, ilipatikana 13-04-2018
- ↑ "Kaunti ya Mandera", Infotrak, ilipatikana 13-04-2018
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
- http://softkenya.com/county/mandera-county/ Mandela County
- Map of the District
- http://www.reliefweb.int/rw/RWB.NSF/db900SID/VBOL-6UEDLF?OpenDocument
![]() | Makala hii kuhusu maeneo ya Kenya bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Kaunti ya Mandera kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |