Maeneo bunge ya Kenya
Jump to navigation
Jump to search
Maeneo bunge ya Kenya yanatumika kuchagua wajumbe wa bunge la Kenya. Kuna maeneo bunge 290 nchini Kenya.
Kenya ina mfumo wa kupiga kura wa mshindi-mmoja, kumaanisha kila eneo bunge linachagua mbunge mmoja tu.
Maeneo bunge yamegawanywa zaidi katika kata, zinazotumika kuchagua madiwani kwa serikali za mitaa.
Wabunge na madiwani wanachaguliwa wakati wa uchaguzi mkuu unaofanyika kila baada ya miaka mitano. Uchaguzi mkuu uliofanyika mwaka 2007 ulisababisha mgogoro mkubwa.
Baada ya hapo ilitungwa katiba mpya.
Yaliyomo
Maeneo bunge ya Kenya katika mkoa wa zamani[hariri | hariri chanzo]
- zingatia: wilaya ni kama zilivyokuwa mwanzo wa mwaka wa 2006
Mkoa wa Nairobi[hariri | hariri chanzo]
Nairobi (Mji Mkuu)
- Eneo bunge la Dagoretti
- Eneo bunge la Embakasi
- Eneo bunge la Kamukunji
- Eneo bunge la Kasarani
- Eneo bunge la Langata
- Eneo bunge la Makadara
- Eneo bunge la Starehe
- Eneo bunge la Westlands
Mkoa wa Kati[hariri | hariri chanzo]
- Eneo bunge la Kieni
- Eneo bunge la Mathira
- Eneo bunge la Mukurweini
- Eneo Bunge la Nyeri Mjini
- Eneo bunge la Othaya
- Eneo bunge la Tetu
- Eneo bunge la Gatanga
- Eneo bunge la Gatundu Kusini
- Eneo bunge la Gatundu Kazkazini
- Eneo bunge la Juja
- Eneo bunge la Githunguri
- Eneo bunge la Kiambaa
- Eneo bunge la Kabete
- Eneo bunge la Limuru
- Eneo bunge la Lari
Mkoa wa Pwani[hariri | hariri chanzo]
Mkoa wa Mashariki[hariri | hariri chanzo]
- Eneo bunge la Kitui ya Kati
- Eneo bunge la Kitui Kusini
- Eneo bunge la Kitui Magharibi
- Eneo bunge la Mutito
- Eneo bunge la Kangundo
- Eneo bunge la Kathiani
- Eneo bunge la Machakos Mjini
- Eneo bunge la Masinga
- Eneo bunge la Mwala
- Eneo bunge la Yatta
- Eneo bunge la Kaiti
- Eneo bunge la Kibwezi
- Eneo bunge la Kilome
- Eneo bunge la Makueni
- Eneo bunge la Mbooni
- Eneo bunge la Igembe
- Eneo bunge la Ntonyiri
- Eneo bunge la Tigania Mashariki
- Eneo bunge la Tigania Magharibi
Mkoa wa Kaskazini Mashariki[hariri | hariri chanzo]
- Eneo bunge la Wajir Mashariki
- Eneo bunge la Wajir Kazkazini
- Eneo bunge la Wajir Kusini
- Eneo bunge la Wajir Magharibi
Mkoa wa Nyanza[hariri | hariri chanzo]
- Eneo bunge la Bonchari
- Eneo bunge la Kitutu Chache
- Eneo bunge la Nyaribari Chache
- Eneo bunge la Nyaribari Masaba
- Eneo bunge la Kisumu Vijijini
- Eneo bunge la Kisumu Mjini Mashariki
- Eneo bunge la Kisumu Mjini Magharibi
Mkoa wa Bonde la Ufa[hariri | hariri chanzo]
Wilaya ya Nakuru
- Eneo bunge la Kuresoi
- Eneo bunge la Molo
- Eneo bunge la Naivasha
- Eneo bunge la Nakuru Mjini
- Eneo bunge la Rongai
- Eneo bunge la Subukia
Mkoa wa Magharibi[hariri | hariri chanzo]
- Eneo bunge la Bumula
- Eneo bunge la Kanduyi
- Eneo bunge la Kimilili
- Eneo bunge la Sirisia
- Eneo bunge la Webuye