Kaunti ya Uasin Gishu

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Ramani ikionesha eneo la Kaunti ya Uasin Gishu, Kenya.

Kaunti ya Uasin Gishu ni mojawapo za kaunti za Kenya zilizobuniwa baada ya katiba mpya ya Jamhuri ya Kenya kupitishwa mwaka 2010. Uasin Gishu ni kaunti nambari 27 kulingana na orodha uliobuniwa kurahisisha utambulizi.

Wakati wa sensa uliofanyika mwaka 2019 ,idadi ya wakaazi ilikuwa 1,163,186 katika eneo la km2 3,392.2, msongamano ukiwa hivyo wa watu 343 kwa kilometa mraba[1].

Makao makuu yako Eldoret.

Utawala[hariri | hariri chanzo]

Kaunti ya Uasin Gishu imegawiwa katika maeneo bunge yafuatayo:

Eeneo bunge Kata
Ainabkoi Kapsoya, Kaptagat, Ainabkoi/Olare
Kapseret Simat/Kapseret, Kipkenyo, Langas, Megun, Ngeria
Kesses Cheptiret/Kipchamo, Racecourse, Tulwet/Chuiyat, Tarakwa
Moiben Karuna/Meibeki, Kimumu, Moiben, Sergoit, Tembelio
Soy Kapkures, Kipsomba, Kuinet/Kapsuswa, Moi's Bridge, Segero/Barsombe, Soy, Ziwa
Turbo Huruma, Kamagut, Kapsaos, Kiplombe, Ngenyilel, Tapsagoi

Idadi ya wakazi katika kaunti ndogo (2019) [2][hariri | hariri chanzo]

  • Ainabkoi 138,184
  • Kapseret 198,499
  • Kesses 148,798
  • Moiben 181,338
  • Soy 229,094
  • Turbo 267,273

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Nakala iliyohifadhiwa. Jalada kutoka ya awali juu ya 2019-11-13. Iliwekwa mnamo 2021-05-30.
  2. Nakala iliyohifadhiwa. Jalada kutoka ya awali juu ya 2019-11-13. Iliwekwa mnamo 2021-05-30.