Nenda kwa yaliyomo

Bomet

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Barabara ya Narok-Bomet katika Mji wa Bomet


Bomet ni mji mkuu wa kaunti ya Bomet nchini Kenya katika Bonde la Ufa la Afrika Mashariki.

Wakazi walikuwa 110,963 wakati wa sensa ya mwaka 2009[1].

  1. Sensa ya Kenya 2009 Ilihifadhiwa 9 Januari 2019 kwenye Wayback Machine., tovuti ya KNBS, ilitazamwa Januari 2009.