Kaunti ya Bungoma

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Ramani ya Bungoma, Kenya
Bungoma, Kenya

Kaunti ya Bungoma ni mojawapo ya kaunti za Kenya zilizopo baada ya katiba mpya ya Jamhuri ya Kenya kupatikana mwaka 2010.

Wakati wa sensa ya mwaka 2019 wakazi walikuwa 1,670,570 katika eneo la km2 3,023.9, msongamano ukiwa hivyo wa watu 552 kwa kilometa mraba[1].

Makao makuu yako Bungoma.

Utawala[hariri | hariri chanzo]

Kaunti ya Bungoma ina maeneo bunge yafuatayo[2]:

Eeneo bunge Kata
Bumula Bumula, Khasoko, Kabula, Kimaeti, South Bukusu, Siboti
Kabuchai Kabuchai/Chwele, West Nalondo, Bwake/Luuya, Mukuyuni
Kanduyi Bukembe West, Bukembe East, Kanduyi Mjini, Khalaba, Musikoma, East Sang'alo, Tuuti/Marakaru, West Sang'alo
Kimilili Kibingei, Kimilili, Maeni, Kamukuywa
Mlima Elgon Cheptais, Chesikaki, Chepyuk, Kapkateny, Kaptama, Elgon
Sirisia Namwela, Malakisi/South Kulisuru, Lwandanyi
Tongaren Mbakalo, Naitiri/Kabuyefwe, Milima, Ndalu/Tabani, Tongaren, Soysambu/Mitua
Webuye Magharibi Sitikho, Matulo, Bokoli
Webuye Mashariki Mihuu, Ndivisi, Maraka

Idadi ya wakazi katika kaunti ndogo (2019) [3][hariri | hariri chanzo]

  • Bumula 215,892
  • Bungoma Central 177,748
  • Bungoma East 114,548
  • Bungoma North 121,317
  • Bungoma South 287,765
  • Cheptais 136,035
  • Kimilili-Bungoma 162,038
  • Mt. Elgon 78,873
  • Bungoma West 119,875
  • Tongaren 100,343
  • Webuye West 152,515
    • Mt. Elgon Forest 3,621

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Nakala iliyohifadhiwa. Jalada kutoka ya awali juu ya 2019-11-13. Iliwekwa mnamo 2021-05-30.
  2. http://countytrak.infotrakresearch.com/Bungoma-county/
  3. Nakala iliyohifadhiwa. Jalada kutoka ya awali juu ya 2019-11-13. Iliwekwa mnamo 2021-05-30.