Nenda kwa yaliyomo

Kerugoya

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Ramani


Kerugoya ni mji wa Kenya ya Kati, makao makuu ya kaunti ya Kirinyaga. Ni kata ya Eneo bunge la Kirinyaga ya Kati[1].

Wakati wa sensa ya mwaka 2009 ulikuwa na wakazi 34,014[2].

  1. Electoral Commission of Kenya: Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency Archived Septemba 29, 2007, at the Wayback Machine
  2. Sensa ya Kenya 2009 Ilihifadhiwa 9 Januari 2019 kwenye Wayback Machine., tovuti ya KNBS, ilitazamwa Januari 2009.