Nenda kwa yaliyomo

Mtwapa

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Machweo na maboti huko Mtwapa.

Mtwapa ni mji wa Kenya kusini, katika kaunti ya Kilifi.

Wakati wa sensa ya mwaka 2009 ulikuwa na wakazi 48,625[1].

Historia

[hariri | hariri chanzo]

Kulikuwa mahali pa makazi ya Waswahili wa kale katika pwani ya kusini ya Kenya kwenye Bahari ya Hindi.

Tazama pia

[hariri | hariri chanzo]
  1. Sensa ya Kenya 2009 Ilihifadhiwa 9 Januari 2019 kwenye Wayback Machine., tovuti ya KNBS, ilitazamwa Januari 2009.