Kabarnet

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Barabara Iten-Kabarnet.


Kabarnet
Nchi Kenya
Kaunti Baringo
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 27,278

Kabarnet ni mji wa magharibi mwa Kenya, kaunti ya Baringo, katika Bonde la Ufa la Afrika Mashariki.

Mji upo mita 1,815 kutoka juu ya usawa wa bahari.

Una wakazi 27,278 (2009).

Kabarnet ni kata ya eneo bunge la Baringo ya Kati[1].

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]