Maralal
Jump to navigation
Jump to search
Maralal | |
Mahali pa mji wa Maralal katika Kenya | |
Majiranukta: 1°6′0″N 36°42′0″E / 1.1°N 36.7°E | |
Nchi | Kenya |
---|---|
Kaunti | Samburu |
Idadi ya wakazi | |
- | 35,472 |
Maralal ni mji wa Kenya katika Bonde la Ufa la Afrika Mashariki, kaunti ya Samburu.
Wakati wa sensa ya mwaka 2009 ulikuwa na wakazi 35,472[1].
Tanbihi[hariri | hariri chanzo]
- ↑ Sensa ya Kenya 2009, tovuti ya KNBS, ilitazamwa Januari 2009.
![]() | Makala hii kuhusu maeneo ya Kenya bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Maralal kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |