Gilgil

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mmojawapo wa wafugaji Gilgil
Kilimo cha umwagiliaji Gilgil


Gilgil
Nchi Kenya
Kaunti Nakuru
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 35,293

Gilgil ni mji wa Kenya, kaunti ya Nakuru katika Bonde la Ufa la Afrika Mashariki.

Wakazi walikuwa 35,293 wakati wa sensa ya mwaka 2009[1].

Gilgil ni pia kata ya eneo bunge la Gilgil[2].

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Sensa ya Kenya 2009 Archived 9 Januari 2019 at the Wayback Machine., tovuti ya KNBS, ilitazamwa Januari 2009.
  2. Electoral Commission of Kenya: Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency Archived Septemba 29, 2007, at the Wayback Machine