Kaunti ya Isiolo
Mandhari
Kaunti ya Isiolo | |
---|---|
Kaunti | |
![]() Barabara kuu ya Marsabit-Isiolo | |
Kaulimbiu: "" | |
Isiolo County in Kenya.svg![]() Kaunti ya Isiolo katika Kenya | |
Nchi | ![]() |
Nambari | 11 |
Ilianzishwa | Tarehe 4 Machi, 2013 |
Ilitanguliwa na | Mkoa wa Mashariki |
Mji mkuu | Isiolo |
Miji mingine | Merti, Archers Post, Garba Tula |
Serikali | |
Gavana | Mohamed Kuti, EGH |
Naibu wa Gavana | Ibrahim Abdi Issa |
Seneta | Dullo Fatuma Adan |
Mwakilishi wa wanawake | Rehema Dida Jaldesa |
Bunge | Bunge la Kaunti ya Isiolo |
Maeneo bunge | |
Eneo | |
Jumla | km2 25 360.6 (sq mi 9 791.8) |
Idadi ya Watu | |
Jumla | 268,002 |
Msongamano | 11 |
Majira ya Saa | Saa za Afrika Mashariki (UTC+3) |
Tovuti isiolo.go.ke |
Kaunti ya Isiolo ni mojawapo ya kaunti za Kenya zilizopo baada ya katiba mpya ya Jamhuri ya Kenya kupatikana mwaka 2010.
Imepakana na Kaunti za Marsabit, Samburu, Meru, Laikipia, Garissa, Tana River na Wajir. Mpaka wake na Kaunti ya Meru umekuwa na utata tangu kaunti zianzishwe[1].
Wakati wa sensa ya mwaka 2019 wakazi walikuwa 268,002 katika eneo la km2 25,360.6, msongamano ukiwa hivyo wa watu 11 kwa kilometa mraba[2]..
Makao makuu yako Isiolo.
Jiografia
[hariri | hariri chanzo]Kaunti ya Isiolo ina maeneo makavu na nusu kavu. Mvua hunyesha mara kwa mara.
Mto Ewaso Ng'iro (Kaskazini) hupitia katika kaunti hii[3].
Utawala
[hariri | hariri chanzo]Kaunti ya Isiolo imegawanywa katika maeneo bunge yafuatayo[4]:
Eneo bunge | Kata |
---|---|
Isiolo North | Wabera, Bulla Pesa, Chari, Cherab, Ngare Mara, Burat, Oldo/Nyiro |
Isiolo South | Garba Tulla, Kina, Sericho |
Idadi ya wakazi katika kaunti ndogo (2019) [5]
[hariri | hariri chanzo]- Garbatulla 99,730
- Isiolo 121,066
- Merti 47,206
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ Lucy Kilalo, "Kaunti moja Pwani yapiga marufuku uuzaji miraa", Taifa Leo, ilipatikana 13-04-2013
- ↑ "Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2019-11-13. Iliwekwa mnamo 2021-05-30.
- ↑ "A BRIEF FACTFILE ABOUT ISIOLO Ilihifadhiwa 14 Novemba 2017 kwenye Wayback Machine.", Zero Violence254, ilipatikana 13-04-2018
- ↑ "Isiolo County Ilihifadhiwa 29 Machi 2018 kwenye Wayback Machine.", Infotrak, ilipatikana 13-04-2018
- ↑ "Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2019-11-13. Iliwekwa mnamo 2021-05-30.
Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]- http://www.iwmi.cgiar.org/Publications/Working_Papers/working/WOR106.pdf Ilihifadhiwa 16 Julai 2020 kwenye Wayback Machine.
0°53′00″N 38°40′00″E / 0.883333°N 38.6667°E
![]() | Makala hii kuhusu maeneo ya Kenya bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Kaunti ya Isiolo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |