Kaunti ya Isiolo

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Kaunti ya Isiolo
Kaunti
Barabara kuu ya Marsabit-Isiolo
Isiolo County in Kenya.svg
Kaunti ya Isiolo katika Kenya
Nchi Kenya
Namba11
IlianzishwaTarehe 4 Machi, 2013
Ilitanguliwa naMkoa wa Mashariki
Makao MakuuIsiolo
Miji mingineMerti, Archers Post, Garba Tula
GavanaMohamed Kuti, EGH
Naibu wa GavanaIbrahim Abdi Issa
SenetaDullo Fatuma Adan
Mbunge Mwanamke(Bunge la Taifa)Rehema Dida Jaldesa
Bunge la KauntiBunge la Kaunti ya Isiolo
Eneo25,360.6 km2 (9,791.8 sq mi)
Idadi ya watu268,002
Wiani wa idadi ya watu11
Kanda mudaSaa za Afrika Mashariki (UTC+3)
Tovutiisiolo.go.ke

Kaunti ya Isiolo ni mojawapo ya kaunti za Kenya zilizopo baada ya katiba mpya ya Jamhuri ya Kenya kupatikana mwaka 2010.

Imepakana na Kaunti za Marsabit, Samburu, Meru, Laikipia, Garissa, Tana River na Wajir. Mpaka wake na Kaunti ya Meru umekuwa na utata tangu kaunti zianzishwe[1].

Wakati wa sensa ya mwaka 2019 wakazi walikuwa 268,002 katika eneo la km2 25,360.6, msongamano ukiwa hivyo wa watu 11 kwa kilometa mraba[2]..

Makao makuu yako Isiolo.

Jiografia[hariri | hariri chanzo]

Kaunti ya Isiolo ina maeneo makavu na nusu kavu. Mvua hunyesha mara kwa mara.

Mto Ewaso Ng'iro (Kaskazini) hupitia katika kaunti hii[3].

Utawala[hariri | hariri chanzo]

Kaunti ya Isiolo imegawanywa katika maeneo bunge yafuatayo[4]:

Eneo bunge Kata
Isiolo North Wabera, Bulla Pesa, Chari, Cherab, Ngare Mara, Burat, Oldo/Nyiro
Isiolo South Garba Tulla, Kina, Sericho

Idadi ya wakazi katika kaunti ndogo (2019) [5][hariri | hariri chanzo]

  • Garbatulla 99,730
  • Isiolo 121,066
  • Merti 47,206

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Lucy Kilalo, "Kaunti moja Pwani yapiga marufuku uuzaji miraa", Taifa Leo, ilipatikana 13-04-2013
  2. Nakala iliyohifadhiwa. Jalada kutoka ya awali juu ya 2019-11-13. Iliwekwa mnamo 2021-05-30.
  3. "A BRIEF FACTFILE ABOUT ISIOLO Archived 14 Novemba 2017 at the Wayback Machine.", Zero Violence254, ilipatikana 13-04-2018
  4. "Isiolo County", Infotrak, ilipatikana 13-04-2018
  5. Nakala iliyohifadhiwa. Jalada kutoka ya awali juu ya 2019-11-13. Iliwekwa mnamo 2021-05-30.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Coordinates: 0°53′00″N 38°40′00″E / 0.883333°N 38.6667°E / 0.883333; 38.6667