Busia, Kenya

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Ramani ya Busia


Busia
Busia is located in Kenya
Busia
Busia

Mahali pa mji wa Busia katika Kenya

Majiranukta: 0°27′50″N 34°06′08″E / 0.46389°N 34.10222°E / 0.46389; 34.10222
Nchi Kenya
Kaunti Busia
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 51,981

Busia ni mji wa Kenya Magharibi, makao makuu ya kaunti ya Busia[1].

Kadiri ya sensa ya mwaka 2009, mji ulikuwa na wakazi 51,981, na hivyo kuwa mkubwa kuliko yote ya kaunti[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Aggrey Mutambo, and Gaitano Pessa (23 February 2018). Busia open border reduces cost of doing business, leaves losers sulking.
  2. World Population Review (24 February 2018). Population of Cities in Kenya. Worldpopulationreview.com.