Busia, Kenya
Kwa maana nyingine, tazama Busia (maana).
Busia | |
Mahali pa mji wa Busia katika Kenya |
|
Majiranukta: 0°27′50″N 34°06′08″E / 0.46389°N 34.10222°E | |
Nchi | Kenya |
---|---|
Kaunti | Busia |
Idadi ya wakazi | |
- Wakazi kwa ujumla | 51,981 |
Busia ni mji wa Kenya Magharibi, makao makuu ya kaunti ya Busia[1].
Kadiri ya sensa ya mwaka 2009, mji ulikuwa na wakazi 51,981, na hivyo kuwa mkubwa kuliko yote ya kaunti[2].
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
Tanbihi[hariri | hariri chanzo]
- ↑ Aggrey Mutambo, and Gaitano Pessa (23 February 2018). Busia open border reduces cost of doing business, leaves losers sulking.
- ↑ World Population Review (24 February 2018). Population of Cities in Kenya. Worldpopulationreview.com.
![]() | Makala hii kuhusu maeneo ya Kenya bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Busia, Kenya kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |