Kajiado
Kajiado | |
Mahali pa mji wa Kajiado katika Kenya | |
Viwianishi: 1°51′0″S 36°47′0″E / 1.85°S 36.78333°E | |
Nchi | Kenya |
---|---|
Mkoa | Bonde la Ufa |
Wilaya | Kajiado |
Idadi ya wakazi | |
- | 8,128 |
Kajiado ni mji wa Kenya katika Mkoa wa Bonde la Ufa. Mji huu upo kusini mwa mji wa Nairobi katika barabara kuu ya Nairobi- Arusha. Idadi ya watu wanaoishi Kajiado ni 8198 (sensa ya 1999) [1]. Idadi kubwa ya watu wanaoishi kajiado ni wa asili ya kimaasai.
Mji wa Kajiado ni mji mkuu wa Wilaya ya Kajiado.
Jina la Kajiado linatokana na neno "Orkejuado" ambalo linamaanisha "mto mrefu" katika lugha ya kimasai. Mto huu upo magharibi mwa mji huu.
Jina halisi wa mjii huu ni "Olopurupurana", ambalo linamaana "kilima cha mviringo".
Usafiri[hariri | hariri chanzo]
Mji wa Kajiado una kituo katika barabara ya reli ya Magadi Soda Railway ambaye inatokea Konza mpaka Magadi.Pia kuna vituo vya matatu za kwenda Namanga na Nairobi.
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
![]() | Makala hii kuhusu maeneo ya Kenya bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Kajiado kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
![]() |
Makala Mkoa wa Bonde la Ufa location bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |