Namanga

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Namanga ni kata ya Wilaya ya Longido katika Mkoa wa Arusha, Tanzania kaskazini. Ina postikodi namba 23503[1]. Wakati wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 9,189 [2] walioishi humo.

Namanga ni kituo cha mpakani baina ya Tanzania na Kenya na hali halisi mji uko pande zote mbili za mpaka wenye jina hilohilo la Namanga.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Kata za Wilaya ya Longido - Mkoa wa Arusha - Tanzania

Eleng'ata Dapash | Engarenaibor | Engikaret | Gelai Lumbwa | Gelai Meirugoi | Ilorienito | Kamwanga | Ketumbeine | Kimokouwa | Longido | Matale | Mundarara | Namanga | Noondoto | Olmolog | Orbomba | Sinya | Tingatinga|


Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Arusha bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Namanga kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.