Kaunti ya Kirinyaga
Jump to navigation
Jump to search
Kaunti ya Kirinyaga | |||
---|---|---|---|
Kaunti | |||
![]() Vijana wakilima katika mradi wa umwagiliaji wa Mwea | |||
| |||
Kirinyaga County in Kenya.svg![]() Kaunti ya Kirinyaga katika Kenya | |||
Nchi | ![]() | ||
Namba | 20 | ||
Ilianzishwa | Tarehe 4 Machi, 2013 | ||
Ilitanguliwa na | Mkoa wa Kati | ||
Makao Makuu | Kutus(Rasmi) | ||
Miji mingine | Kerugoya, Sagana, Wang'uru | ||
Gavana | Anne Mumbi Waiguru | ||
Naibu wa Gavana | Peter Njagi Ndambiri | ||
Seneta | Daniel Karaba Dickson | ||
Mbunge Mwanamke(Bunge la Taifa) | Purity Wangui Ngirici | ||
Bunge la Kaunti | Bunge la Kaunti ya Kirinyaga | ||
Wawakilishi wa Bunge la Kaunti waliochaguliwa | 20 | ||
Maeneo bunge/Kaunti ndogo | 4 | ||
Eneo | 1,205.4 km2 (465.4 sq mi) | ||
Idadi ya watu | 528,054 | ||
Kanda muda | Saa za Afrika Mashariki (UTC+3) | ||
Tovuti | kirinyaga.go.ke |
Kaunti ya Kirinyaga ni mojawapo ya kaunti za Kenya zilizopo baada ya katiba mpya ya Jamhuri ya Kenya kupatikana mwaka 2010.
Makao makuu yako Kerugoya/Kutus.
Jiografia[hariri | hariri chanzo]
Kaunti ya Kirinyaga imepakana na Nyeri (magharibi), Murang'a (kusini magharibi) na Embu (mashariki).
Mlima kenya na msitu unaouzunguka uko kaskazini mwa kaunti. Theluji ambayo huyeyuka kutoka Mlima Kenya hutengeneza mito, k.v. Mto Thiba na Mto Kiganjo. Mito mingine iliyo katika kaunti hii ni Mto Sagana, Mto Nyamindi, Mto Rupingazi, Mto Thiba, Mto Rwamuthambi and Mto Ragati[1].
Kirinyaga huwa na tabianchi tropiki na hupata misimu miwili ya mvua.
Utawala[hariri | hariri chanzo]
Kaunti ya Kirinyaga imegawanywa katika maeneo yafuatayo:
Eneo Bunge | Wadi |
---|---|
Mwea | Mutithi, Kangai, Wamumu, Nyangati, Murindiko, Gathigiriri, Teberer |
Gichugu | Kabare Baragwi, Njukiini, Ngariama, Karumandi |
Ndia | Mukure, Kiine, Kariti |
Kirinyaga Central | Mutira, Kanyekini, Kerugoya, Inoi |
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- ↑ Kirinyaga County Government. Iliwekwa mnamo 2018-04-30.
![]() | Makala hii kuhusu maeneo ya Kenya bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Kaunti ya Kirinyaga kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |