Kaunti ya Bomet

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Ramani ya Kaunti ya Bomet, Kenya
Barabara ya Kaunti ya Bomet, Kenya

Kaunti ya Bomet ni mojawapo ya kaunti za Kenya zilizopo baada ya katiba mpya ya Jamhuri ya Kenya kupatikana mwaka 2010.

Wakati wa sensa ya mwaka 2019 wakazi walikuwa 875,689 katika eneo la km2 2,530.9, msongamano ukiwa hivyo wa watu 346 kwa kilometa mraba[1].

Makao makuu yako Bomet.

Utawala[hariri | hariri chanzo]

Kaunti ya Bomet imegawanywa katika maeneo bunge yafuatayo[2]:

Eneo bunge Kata
Bomet Mashariki Merigi, Kembu, Longisa, Kipreres, Chemaner
Bomet ya Kati Silibwet Mjini, Nadaraweta, Singorwet, Chesoen, Mutarakwa
Chepalungu Kong'asis, Nyangores, Sigor, Chebunyo, Siongiroi
Konoin Chepchabas, Kimulot, Mogogosiet, Boito, Embomos
Sotik Ndanai/Abosi, Chemagel, Kipsonoi, Rongena/Manaret, Apletundo

Idadi ya wakazi katika kaunti ndogo (2019) [3][hariri | hariri chanzo]

  • Bomet East 144,275
  • Chepalungu 164,837
  • Konoin 163,507
  • Sotik 227,855
  • Bomet Central 175,215

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Nakala iliyohifadhiwa. Jalada kutoka ya awali juu ya 2019-11-13. Iliwekwa mnamo 2021-05-30.
  2. http://countytrak.infotrakresearch.com/Bomet-county/
  3. Nakala iliyohifadhiwa. Jalada kutoka ya awali juu ya 2019-11-13. Iliwekwa mnamo 2021-05-30.