Molo, Kenya
(Elekezwa kutoka Molo)
Jump to navigation
Jump to search
Molo | |
Nchi | Kenya |
---|---|
Kaunti | Nakuru |
Idadi ya wakazi | |
- | 107,806 (2,009) |
Molo ni mji wa Kenya katika Kaunti ya Nakuru.
Wakati wa sensa ya mwaka 2009 ulikuwa na wakazi 107,806[1].
Molo inatoa viazi kwa wingi.
Tanbihi[hariri | hariri chanzo]
- ↑ Sensa ya Kenya 2009 Archived Januari 9, 2019 at the Wayback Machine., tovuti ya KNBS, ilitazamwa Januari 2009.
![]() | Makala hii kuhusu maeneo ya Kenya bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Molo, Kenya kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |