Molo, Kenya

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Molo)


Molo
Nchi Kenya
Kaunti Nakuru
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 107,806 (2,009)

Molo ni mji wa Kenya katika Kaunti ya Nakuru.

Wakati wa sensa ya mwaka 2009 ulikuwa na wakazi 107,806[1].

Molo ni pia kata ya eneo bunge la Molo[2].

Molo inatoa viazi kwa wingi.

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Sensa ya Kenya 2009 Archived 9 Januari 2019 at the Wayback Machine., tovuti ya KNBS, ilitazamwa Januari 2009.
  2. Electoral Commission of Kenya: Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency Archived Septemba 29, 2007, at the Wayback Machine