Tala, Kenya

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru


Tala
Nchi Kenya
Kaunti Machakos
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 4,734
Tala, Kenya

Tala ni mji wa Kenya ambao umeunganika na Kangundo katika halmashauri moja kubwa (ya tisa nchini).

Tala ni kata ya kaunti ya Machakos, Eneo bunge la Matungulu[1].

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]