Nyansiongo

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Nyansiongo (Nsunera) ni mji wa Kenya katika Kaunti ya Nyamira, kilometa chache kutoka Kisii. Ni mji ambao hapo zamani walikuwa wakiishi wakoloni.

Mwaka 2009 ulikuwa na wakazi 45,313[1].

Nyansiongo ni kata ya Eneo bunge la Borabu[2].

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Sensa ya Kenya 2009 Archived 9 Januari 2019 at the Wayback Machine., tovuti ya KNBS, ilitazamwa Januari 2009.
  2. Electoral Commission of Kenya: Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency Archived Septemba 29, 2007, at the Wayback Machine