Kikuyu (mji)
Mandhari
(Elekezwa kutoka Kikuyu, Kenya)
Tazama pia: Wagikuyu

Kikuyu ni mji wa Kenya ya Kati, katika Kaunti ya Kiambu, pia ni kata ya eneo bunge la Kikuyu[1].
Katika sensa ya mwaka 2009 ulikuwa na wakazi 233,231 [2].
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]- ↑ Electoral Commission of Kenya: Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency Archived Septemba 29, 2007, at the Wayback Machine
- ↑ Sensa ya Kenya 2009 Ilihifadhiwa 9 Januari 2019 kwenye Wayback Machine., tovuti ya KNBS, ilitazamwa Januari 2009
![]() | Makala hii kuhusu maeneo ya Kenya bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Kikuyu (mji) kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |