Nenda kwa yaliyomo

Bondo, Kenya

Majiranukta: 0°14′N 34°16′E / 0.233°N 34.267°E / 0.233; 34.267
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru


Mji wa Bondo

Bondo ni mji wa Kenya, mkubwa kuliko yote ya kaunti ya Siaya.

Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2019, kuna wakazi wapatao 22,712 wanaoishi katika mji huo[1].

Watu mashuhuri

[hariri | hariri chanzo]

Bondo inajulikana kama pahali kiongozi wa chama cha ODM na Azimio la Umoja Raila Odinga [2] alipozaliwa.

  1. https://www.citypopulation.de/en/kenya/cities/
  2. Raila Odinga hosts President Uhuru Kenyatta at his Bondo home., iliwekwa mnamo 2022-03-29

0°14′N 34°16′E / 0.233°N 34.267°E / 0.233; 34.267