Bondo, Kenya
Jump to navigation
Jump to search
Bondo | |
Majiranukta: 0°14′57″N 34°16′26″E / 0.24917°N 34.27389°E | |
Nchi | Kenya |
---|---|
Kaunti | Siaya |
Idadi ya wakazi | |
- | 22,712 |
Bondo ni mji wa Kenya, mkubwa kuliko yote ya kaunti ya Siaya.
Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2019, kuna wakazi wapatao 22,712 wanaoishi katika mji huo[1].
Watu mashuhuri[hariri | hariri chanzo]
Bondo inajulikana kama pahali kiongozi wa chama cha ODM na Azimio la Umoja Raila Odinga [2] alipozaliwa.
Tanbihi[hariri | hariri chanzo]
- ↑ https://www.citypopulation.de/en/kenya/cities/
- ↑ Raila Odinga hosts President Uhuru Kenyatta at his Bondo home. (in sw-TZ), retrieved 2022-03-29
Majiranukta kwenye ramani: 0°14′N 34°16′E / 0.233°N 34.267°E
![]() | Makala hii kuhusu maeneo ya Kenya bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Bondo, Kenya kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |