Bondo, Kenya
Jump to navigation
Jump to search
Bondo | |
Majiranukta: 0°14′57″N 34°16′26″E / 0.24917°N 34.27389°E | |
Nchi | Kenya |
---|---|
Kaunti | Siaya |
Idadi ya wakazi | |
- | 33,468 |
Bondo ni mji wa Kenya, mkubwa kuliko yote ya kaunti ya Siaya.
Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2009, mji una wakazi wapatao 33,468 wanaoishi katika mji huu[1].
Tanbihi[hariri | hariri chanzo]
- ↑ Nakala iliyohifadhiwa. Jalada kutoka ya awali juu ya 2013-07-18. Iliwekwa mnamo 2019-01-05.
Majiranukta kwenye ramani: 0°14′N 34°16′E / 0.233°N 34.267°E
![]() | Makala hii kuhusu maeneo ya Kenya bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Bondo, Kenya kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |