Kangundo

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Jiwe kubwa lililopo Kangudo,Kenya

Kangundo ni mji wa Kenya katika kaunti ya Machakos.

Wakazi walikuwa 218,557 (pamoja na Tala, ambayo ni sehemu ya halmashauri ya mji) wakati wa sensa ya mwaka 2009[1].

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Sensa ya Kenya 2009 Archived 9 Januari 2019 at the Wayback Machine., tovuti ya KNBS, ilitazamwa Januari 2009.