Ukunda
Jump to navigation
Jump to search
Ukunda ni mji wa pwani ya Kenya katika Kaunti ya Kwale.
Mwaka 2009 ulikuwa na wakazi 62,529[1].
Tanbihi[hariri | hariri chanzo]
- ↑ Sensa ya Kenya 2009 Archived Januari 9, 2019 at the Wayback Machine., tovuti ya KNBS, ilitazamwa Januari 2009.
![]() | Makala hii kuhusu maeneo ya Kenya bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Ukunda kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |