Kaunti ya Homa Bay

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Ramani ya Kaunti ya Homa Bay, Kenya

Kaunti ya Homa Bay ni mojawapo ya kaunti za Kenya zilizopo baada ya katiba mpya ya Jamhuri ya Kenya kupatikana mwaka 2010.

Wakati wa sensa ya mwaka 2019 wakazi walikuwa 1,131,950 katika eneo la km2 3,152.5, msongamano ukiwa hivyo wa watu 359 kwa kilometa mraba[1].

Makao makuu yako Homa Bay.

Utawala[hariri | hariri chanzo]

Kaunti ya Homa Bay ina maeneo bunge yafuatayo:

Eneo bunge Kata
Homa Bay Mjini Homabay Central, Homabay Arujo, Homabay West, Homabay East
Kabondo Kasipul Kabondo East, Kabondo West, Kokwanyo/Kakel, Kojwach
Karachuonyo West Karachuonyo, North Karachuonyo, Kanyaluo, Central Karachuonyo, Kibiri, Wangchieng', Kendu Bay Town
Kasipul West Kasipul, South Kasipul, Central Kasipul, East Kamagak, West Kamagak
Mbita Mfangano Iskand, Rusinga Island, Kasgunga, Gembe, Lambwe
Ndhiwa Kwabwai, Kanyadoto, Kanyikela, Kabuoch South/Pala, Kanyamwa Kalogi, Kanyamwa Kosewe, Kabuoch North
Rangwe West Gem, East Gem, Kagan, Kochia
Suba Gwassi South, Gwassi North, Kaksingri West, Ruma-Kaksingri

Idadi ya wakazi katika kaunti ndogo (2019) [2][hariri | hariri chanzo]

  • Homa Bay 117,439
  • Ndhiwa 218,136
  • Rachuonyo North 178,686
  • Rachuonyo East 121,822
  • Rachuonyo South 130,814
  • Rangwe 117,732
  • Suba North 124,938
  • Suba South 122,383

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Nakala iliyohifadhiwa. Jalada kutoka ya awali juu ya 2019-11-13. Iliwekwa mnamo 2021-05-30.
  2. Nakala iliyohifadhiwa. Jalada kutoka ya awali juu ya 2019-11-13. Iliwekwa mnamo 2021-05-30.