Wilaya ya Homa Bay

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru


Wilaya ya Homa Bay
Mahali paWilaya ya Homa Bay
Mahali paWilaya ya Homa Bay
Wilaya ya Homa Bay katika Kenya
Nchi Bendera ya Kenya Kenya
Mji mkuu Homa Bay
Eneo
 - Jumla 3,154.7 km²
Idadi ya wakazi (2009 Sensa[1])
 - Wakazi kwa ujumla 963,794

Wilaya ya Homa Bay ilikuwa wilaya mojawapo ya Mkoa wa Nyanza wa Jamhuri ya Kenya hadi ilipopitishwa katiba mpya ya nchi (2010).

Makao makuu yalikuwa mjini Homa Bay.

Kwa sasa imekuwa kaunti ya Homa Bay.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Nyanza bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Wilaya ya Homa Bay kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.