Wilaya ya Kericho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru


Wilaya ya Kericho
Mahali paWilaya ya Kericho
Mahali paWilaya ya Kericho
Wilaya ya Kericho katika Kenya
Nchi Bendera ya Kenya Kenya
Mji mkuu Kericho
Eneo
 - Jumla 2,454.5 km²
Idadi ya wakazi (2009 Sensa[1])
 - Wakazi kwa ujumla 752,396

Wilaya ya Kericho ilikuwa wilaya mojawapo ya Mkoa wa Bonde la Ufa wa Jamhuri ya Kenya hadi ilipopitishwa katiba mpya ya nchi (2010).

Makao makuu yalikuwa mjini Kericho.

Kwa sasa imekuwa kaunti ya Kericho.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Bonde la Ufa bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Wilaya ya Kericho kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.