Wilaya ya Thika

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Maporomoko ya Thika karibu na mji wa Thika.

Wilaya ya Thika ilikuwa wilaya mojawapo ya Mkoa wa Kati wa Jamhuri ya Kenya hadi ilipopitishwa katiba mpya ya nchi (2010).

Makao makuu yalikuwa mjini Thika.

Kwa sasa imekuwa sehemu ya kaunti ya Kiambu.

Wilaya ilipakana na Nairobi upande wa kaskazini mashariki. Idadi ya wakazi ilikuwa 645.713. Wakikuyu ndio waliozidi kwa idadi wilayani.

Wakazi wa wilaya hasa ni wa kijijini, lakini wakazi wake wa mjini wanazidi kuongezeka pale mji wa Nairobi unapozidi kupanuka.

Halmashauri za miji wilayani
Mamlaka Aina Idadi ya Watu Mjini pop.*
Thika Manispaa 88.265 82.665
Ruiru Manispaa 109.349 79.741
Thika kata County 448.099 5.968
Jumla -- 645.713 168.374
* 1999 census. Source: [1]
Tarafa za wilaya ya Thika
Tarafa Idadi ya Watu Mjini pop.* Makao makuu ya
Gatanga 103.048 0
Gatundu 113.699 0 Gatundu
Kakuzi 71.622 0
Kamwangi (Gatundu kaskazini) 99.460 0
Ruiru (Juja) 150.710 81.709 Ruiru
Thika manisipaa 107.174 75.893 Thika
Jumla 645.713 157.602
* 1999 census. Sources: [2], [3],

Wilaya ina majimbo ya uchaguzi manne:

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Kati bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Wilaya ya Thika kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.