Hola

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Hospitali ya Kaunti, Hola


Hola
Hola is located in Kenya
Hola
Hola

Mahali pa mji wa Hola katika Kenya

Majiranukta: 1°30′0″S 40°02′0″E / 1.50000°S 40.03333°E / -1.50000; 40.03333
Nchi Kenya
Kaunti Tana River
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 6,932

Hola (pia: Galole) ni mji wa Kenya na makao makuu wa kaunti ya Tana River[1]..

Mwaka 1999 ulikuwa na wakazi 6,932.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]