Kaunti ya Siaya

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Ramani ikionesha eneo la Kaunti ya Siaya, Kenya.

Kaunti ya Siaya ni mojawapo ya kaunti za Kenya zilizopo baada ya katiba mpya ya Jamhuri ya Kenya kupatikana mwaka 2010.

Wakati wa sensa ya mwaka 2019 wakazi walikuwa 993,183 katika eneo la km2 2,529.8, msongamano ukiwa hivyo wa watu 393 kwa kilometa mraba[1].

Makao makuu yako Siaya.


Utawala[hariri | hariri chanzo]

Kaunti ya Siaya imegawanywa katika maeneo bunge yafuatayo[2]:

Eneo bunge Kata
Alego Usonga Usonga, West Alego, Central Alego, Siaya Mjini, North Alego, South East Alego
Bondo West Yimbo, Central Sakwa, South Sakwa, Yimbo East, West Sakwa, North Sakwa
Gem North Gem, West Gem, Central Gem, Yala, Gem Mjini, East Gem, South Gem
Rarieda East Asembo, West Asembo, North Uyoma, South Uyoma, West Uyoma
Ugenya West Ugenya, Ukwala, North Ugenya, East Ugenya
Ugunja Sidindi, Sigomere, Ugunja

Idadi ya wakazi katika kaunti ndogo (2019) [3][hariri | hariri chanzo]

  • Siaya 224,343
  • Gem 179,792
  • Ugenya 134,354
  • Ugunja 104,241
  • Bondo 197,883
  • Rarieda 152,570

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Nakala iliyohifadhiwa. Jalada kutoka ya awali juu ya 2019-11-13. Iliwekwa mnamo 2021-05-30.
  2. http://countytrak.infotrakresearch.com/Siaya-county/
  3. Nakala iliyohifadhiwa. Jalada kutoka ya awali juu ya 2019-11-13. Iliwekwa mnamo 2021-05-30.