Kaunti ya Garissa
Mandhari
| Kaunti ya Garissa | |
|---|---|
| Kaunti | |
Msikiti wa Jamia, Garissa | |
| Kaulimbiu: "" | |
Kaunti ya Garissa katika Kenya | |
| Coordinates: 0°27′25″S 39°39′30″E / 0.45694°S 39.65833°E | |
| Nchi | |
| Nambari | 7 |
| Ilianzishwa | Tarehe 4 Machi, 2013 |
| Ilitanguliwa na | Mkoa wa Kaskazini Mashariki |
| Mji mkuu | Garissa |
| Miji mingine | Dadaab, Hagadera, Ijara |
| Serikali | |
| Gavana | Ali Bunow Korane |
| Naibu wa Gavana | Abdi Muhumed Agane |
| Seneta | Mohamed Yusuf Haji |
| Mwakilishi wa wanawake | Anab Mohamed Gure |
| Bunge | Bunge la Kaunti ya Garissa |
| Wawakilishi Wadi | 30 |
| Maeneo bunge | 6 |
| Eneo | |
| Jumla | km2 44 736 (sq mi 17 273) |
| Idadi ya Watu | |
| Jumla | 841,353[1]. |
| Msongamano | 19 /km² |
| Majira ya Saa | Saa za Afrika Mashariki (UTC+3) |
| Tovuti garissa.go.ke | |
Kaunti ya Garissa ni mojawapo ya kaunti 47 za Kenya iliyo katika Mashariki mwa nchi hiyo. Inapakana na Somalia upande wa mashariki, Wajir kaskazini, Kaunti ya Tana River Magharibi na Kaunti ya Lamu kusini. Kulingana na sensa ya mwaka 2019 kaunti hii ina wakazi 841,353 katika eneo la km2 44,736.[2]. Mji mkuu na Makao makuu ya kaunti hii yako katika mji wa Garissa.
Kaunti ya Garissa ni makazi ya wakimbizi zaidi ya 260,000. Kambi ya wakimbizi ya Dadaab iliyo katika kaunti hii ndio kubwa zaidi Kenya.
Utawala
[hariri | hariri chanzo]Kaunti ya Garissa ina maeneo yafuatayo ya utawala[3]:
| Eneo bunge | Kata |
|---|---|
| Garissa Mjini | Waberi, Galbet, Garissa Mjini, Iftin |
| Balambala | Balambala, Danyere, Jarajara, Saka, Sankuri |
| Lagdera | Modogashe, Bename, Goreale, Maalamin, Sabena, Baraki |
| Dadaab | Dertu, Dadaab, Labasigale, Damajale, Liboi, Abakaile |
| Fafi | Bura, Dekaharia, Jarajila, Fafi, Nanighi |
| Ijara | Hulugho, Sangailu, Ijara, Masalani |
Demografia
[hariri | hariri chanzo]Idadi ya wakazi katika kaunti ndogo (2019) [4]
[hariri | hariri chanzo]- Balambala 32,257
- Dadaab 185,252
- Fafi 134,040
- Garissa 163,914
- Hulugho 133,984
- Ijara 141,591
- Lagdera 50,315
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ www.knbs.or.ke
- ↑ "Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2019-11-13. Iliwekwa mnamo 2021-05-29.
- ↑ "Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2021-09-04. Iliwekwa mnamo 2021-09-04.
- ↑ "Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2019-11-13. Iliwekwa mnamo 2021-05-29.
| Makala hii kuhusu maeneo ya Kenya bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Kaunti ya Garissa kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |