Kaunti ya Kilifi
Kaunti ya Kilifi | |||||
---|---|---|---|---|---|
Kaunti | |||||
| |||||
Kilifi County in Kenya.svg![]() Kaunti ya Kilifi katika Kenya | |||||
Nchi | ![]() | ||||
Namba | 3 | ||||
Ilianzishwa | Tarehe 4 Machi, 2013 | ||||
Ilitanguliwa na | Mkoa wa Pwani | ||||
Makao Makuu | Kilifi | ||||
Miji mingine | Malindi | ||||
Gavana | Amason Jefa Kingi | ||||
Naibu wa Gavana | Gideon Edmund Saburi | ||||
Seneta | Stewart Mwachiru Shadrach Madzayo | ||||
Mbunge Mwanamke(Bunge la Taifa) | Getrude Mbeyu Mwanyanje | ||||
Bunge la Kaunti | Bunge la Kaunti ya Kilifi | ||||
Spika | Jimmy Kahindi | ||||
Wawakilishi wa Bunge la Kaunti waliochaguliwa | 35 | ||||
Maeneo bunge/Kaunti ndogo | 7 | ||||
Eneo | 12,245.9 km2 (4,728.2 sq mi) | ||||
Idadi ya watu | 1,109,735 | ||||
Kanda muda | Saa za Afrika Mashariki (UTC+3) | ||||
Tovuti | kilifi.go.ke |
Kaunti ya Kilifi ni kaunti nchini Kenya katika eneo la Mkoa wa Pwani wa awali.
Ilianzishwa mwaka 2010 kwa kuunganisha wilaya za Kilifi na Malindi.
Mji mkuu uko Kilifi lakini mji mkubwa zaidi ni Malindi.
Eneo la kaunti lilikuwa na wakazi 1,109,735 wakati wa sensa ya mwaka 2009.[1] Eneo lake ni km² 12,245.90.
Kiongozi wa serikali yake ni gavana anayechaguliwa na wananchi.
Eneo la kaunti liko upande wa kaskazini na kaskazini-mashariki ya Mombasa. Sehemu zinazotembelewa na watalii ni hasa Kikambala, Watamu, Malindi na Kilifi.
Utawala[hariri | hariri chanzo]
Kilifi huwa na majimbo ya uchaguzi wa bunge 7 pamoja na kumchagua seneta mmoja na mbunge mmoja kwenye viti maalum vya wanawake. Kaunti ya Kilifi ina maeneo bunge yafuatayo:
Eneo bunge | Namba ya
wadi |
Wadi |
---|---|---|
Kilifi Kaskazini | 7 | Tezo, Sokoni, Kibarani, Dabaso,Matsangoni, Watamu, Mnarani. |
Kilifi Kusini | 5 | Junju, Mwarakaya, Shimo la Tewa, Chasimba,Mtepeni |
Kaloleni | 4 | Mariakani, Kayafungo, Kaloleni, Mwanamwinga |
Rabai | 4 | Mwawesa, Ruruma, Kambe-Ribe, Rabai/Kisurutuni |
Ganze | 4 | Ganze,Bamba, Jaribuni, Sokoke |
Malindi | 5 | Jilore, Kakuyuni, Ganda, Malindi Town, Shella |
Magarini | 6 | Maarafa, Magarini, Gongoni, Adu, Garashi,Sabaki |
35 |
Mamlaka | Aina | Wakazi* | Wakazi wa miji* |
---|---|---|---|
Kilifi | Mji | 74,050 | 30,394 |
Mariakani | Mji | 57,984 | 10,987 |
Kaunti ya Kilifi | Kaunti | 412,269 | 28,266 |
Jumla | – | 544,303 | 69,647 |
* 1999 census. Source: [1] |
Tarafa | Wakazi* | Wakazi wa mijini* | Makao makuu |
---|---|---|---|
Bahari | 90,009 | 26,862 | Kilifi |
Bamba | 35,852 | 1,307 | Bamba |
Chonyi | 47,138 | 0 | |
Ganze | 33,207 | 0 | Ganze |
Kaloleni | 197,033 | 13,964 | Kaloleni |
Kikambala | 97,898 | 23,997 | Mtwapa |
Vitengeni | 43,159 | 0 | Vitengeni |
Total | 544,303 | 66,130 | |
* 1999 census. Sources: [2], [3], |
Picha[hariri | hariri chanzo]
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
Viungo vya Nje[hariri | hariri chanzo]
Majiranukta kwenye ramani: 3°40′00″S 39°45′00″E / 3.66667°S 39.75°E