Saa za Afrika Mashariki

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Kanda muda za Afrika. Saa za Afrika Mashariki katika kijani.

Saa za Afrika Mashariki (kwa Kiingereza: East Africa Time, kifupi: EAT) ni kanda muda inayotumika katika Afrika ya Mashariki. Iko katika kanda ya UTC +3, ambayo iko saa tatu mbele ya muda sanifu.

Saa za Afrika Mashariki hutumiwa na: