Kaunti ya Baringo

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Ramani ya Kaunti ya Baringo,Kenya

Kaunti ya Baringo ni mojawapo ya kaunti za Kenya zilizopo baada ya katiba mpya ya Jamhuri ya Kenya kupatikana mwaka 2010.

Wakati wa sensa ya mwaka 2019 wakazi walikuwa 666,763 katika eneo la km2 10,976.4, msongamano ukiwa hivyo wa watu 61 kwa kilometa mraba[1]..

Makao makuu yako Kabarnet.

Utawala[hariri | hariri chanzo]

Kaunti ya Baringo ina maeneo bunge yafuatayo[2]:

Eeneo bunge Kata
Baringo ya Kati Kabarnet, Sacho, Tenges, Ewalel/Chapcha, Kapropita
Baringo Kusini Marigat, Ilchamus, Mochongoi, Mukutani
Baringo Kaskazini Barwessa, Kabartonjo, Saimo/Kipsara Man, Saimo/Soi, Bartabwa
Eldama Ravine Lembus, Lembus Kwen, Ravine, Mumberes/Maji Mazuri, Lembus/Pekerra
Mogotio Mogotio, Emining, Kisanana
Tiaty Tirioko, Kolowa, Ribkwo, Silale, Loiyamorock, Tangulbei/Korossi, Churo/Amaya

Idadi ya wakazi katika kaunti ndogo (2019) [3][hariri | hariri chanzo]

  • Baringo Central 96,951
  • Baringo North 104,871
  • East Pokot 79,923
  • Koibatek 129,535
  • Marigat 90,955
  • Mogotio 91,104
  • Tiaty East 73,424

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. "Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2019-11-13. Iliwekwa mnamo 2021-05-30. 
  2. http://countytrak.infotrakresearch.com/Baringo-county/
  3. "Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2019-11-13. Iliwekwa mnamo 2021-05-30.