Nenda kwa yaliyomo

Eneo bunge la Mogotio

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Jamhuri ya Kenya

Makala hii imepangwa kwa mfululizo:
Siasa na serikali ya
Kenya



Nchi zingine · Atlasi

Eneo bunge la Mogotio ni Jimbo la Uchaguzi nchini Kenya. Ni moja kati ya majimbo sita ya Kaunti ya Baringo.

Lilianzishwa wakati wa Uchaguzi mkuu wa 1997.

Jimbo hili lina wodi 12 na zote huchagua madiwani kwa Baraza la Kaunti.

Mwaka wa Uchaguzi Mbunge [1] Chama Vidokezo
1997William Cheruiyot MorogoKANU
2002Joseph Kipkapto KorirKANU
2007Hellen SambiliUDM
Kata
Wodi Wapiga Kura waliojisajili
Cheberen997
Emining3,318
Kakimor / Rosoga1,755
Kamar1,112
Kimng'orom / Sirwa2,295
Kisanana1,576
Koibos-Soi1,079
Lembus Kiptoim2,187
Lembus Mogotio4,584
Muguriny2,330
Ol Kokwe764
Sinende860
Jumla22,857
*Septemba 2005 [2].

Tazama Pia

[hariri | hariri chanzo]