Wilaya ya Taita-Taveta

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru


Wilaya ya Taita-Taveta
Mahali paWilaya ya Taita-Taveta
Mahali paWilaya ya Taita-Taveta
Mahali pa Wilaya ya Taita-Taveta katika Kenya
Nchi Bendera ya Kenya Kenya
Mji mkuu Voi
Eneo
 - Jumla 17,083.9 km²
Idadi ya wakazi (2009 Sensa[1])
 - Wakazi kwa ujumla 284,657

Wilaya ya Taita-Taveta ilikuwa wilaya mojawapo ya Mkoa wa Pwani wa Jamhuri ya Kenya hadi ilipopitishwa katiba mpya ya nchi (2010).

Makao makuu yalikuwa mjini Voi.

Kwa sasa imekuwa kaunti ya Taita-Taveta.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Pwani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Wilaya ya Taita-Taveta kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.