Wilaya ya Turkana

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru


Wilaya ya Turkana
Mahali paWilaya ya Turkana
Mahali paWilaya ya Turkana
Mahali pa Wilaya ya Turkana katika Kenya
Nchi Bendera ya Kenya Kenya
Mji mkuu Lodwar
Eneo
 - Jumla 71,597.8 km²
Idadi ya wakazi (2009 Sensa[1])
 - Wakazi kwa ujumla 855,399

Wilaya ya Turkana ilikuwa wilaya mojawapo ya Mkoa wa Bonde la Ufa wa Jamhuri ya Kenya hadi ilipopitishwa katiba mpya ya nchi (2010).

Makao makuu yalikuwa mjini Lodwar.

Kwa sasa imekuwa kaunti ya Turkana.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Bonde la Ufa bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Wilaya ya Turkana kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.