Nenda kwa yaliyomo

Eneo bunge la Msambweni

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Jamhuri ya Kenya

Makala hii imepangwa kwa mfululizo:
Siasa na serikali ya
Kenya



Nchi zingine · Atlasi

Eneo bunge la Msambweni ni moja kati ya Majimbo 290 ya Uchaguzi nchini Kenya. Jimbo hili linapatikana katika Kaunti ya Kwale, pwani mwa Kenya, miongoni mwa majimbo manne katika kaunti hiyo. Jimbo la Msambweni lina wodi kumi, zote zikichagua madiwani kwa baraza la Kwale County.

Historia

[hariri | hariri chanzo]

Jimbo hili lilianzishwa wakati wa uchaguzi mkuu wa 1988, huku mbunge wake wa kwanza akiwa Kassim Bakari Mwamzandi.

Uchaguzi Mbunge [1] Chama Vidokezo
1988Kassim Bakari MwamzandiKANUMfumo wa Chama Kimoja
1992Kassim Bakari MwamzandiKANU
1997Mwarere Wa MwachaiKANU
2002Abdalla Jumaa NgoziNARC
2007Omar Mbwana ZongaODM

Kata na Wodi

[hariri | hariri chanzo]
Kata
Kata Idadi ya Watu*
Diani60,565
Dzombo36,118
Kikoneni17,571
Kingwende/Shira10,656
Kinondo20,798
Lunga Lunga20,101
Mivumoni10,300
Msambweni17,104
Mwereni32,034
Pongwe/Kidimu15,104
Vanga13,744
Jumlax
*Sensa ya 1999.
Wards
Wodi Wapiga Kura
Waliojisajili
Diani15,751
Dzombo7,571
Kasemeni / Sega5,665
Kikoneni4,444
Kingwende/Shirazi3,836
Kinondo6,107
Mivumoni / Msambweni9,136
Mwereni4,930
Pongwe/Kidimu5,573
Vanga4,216
Jumla67,229
*Septemba 2005 [2].

Tazama Pia

[hariri | hariri chanzo]