Wamahanji

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Wamahanji ni kabila la watu kutoka wilaya ya Makete, katika milima ya Kipengere ya Mkoa wa Njombe, sehemu ya kusini ya nchi Tanzania.[1]

Mwaka 2012 idadi ya Wamahanji ilikadiriwa kuwa 10,000. Lugha yao ni Kimahanji.

Wamahanji ni majirani kabisa wa kabila la Wakinga. Asilimia kubwa ya Wamahanji wapo sehemu za vijiji saba vya kata ya Kipagalo na tarafa ya Bulongwa, wilaya ya Makete.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Araki, Shigeru (2007). Indigenous Agriculture in Tanzania and Zambia in the Present Environmental and Socioeconomic Milieu. Center for African Area Studies, Kyoto University. Retrieved 17 July 2017. 
Makala hii kuhusu utamaduni wa Tanzania bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Wamahanji kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.