Waakie

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Waakie (pia Wamosiro, kutokana na jina la ukoo mmojawapo) ni kabila dogo la watu wa Tanzania wanaoishi upande wa magharibi wa Mkoa wa Arusha.

Mwaka 2000 walihesabiwa kuwa 5,268 [1].

Waakie, kama makabila mengine ya wawindaji wa Kenya na Tanzania, wanaitwa pengine Wadorobo au Wandorobo.

Wengi wao hawatumii tena lugha yao, Kiakie, bali Kimasai na Kiswahili[1][2][3]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu utamaduni wa Tanzania bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Waakie kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.