Wakimbu

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Wakimbu ni kabila la watu wa Tanzania wanaoishi mpakani mwa mikoa mitatu, yaani Mkoa wa Tabora, Mkoa wa Singida na Mkoa wa Mbeya,[1] hasa kwenye Wilaya ya Sikonge, Wilaya ya Manyoni na Wilaya ya Chunya. Lugha yao ni Kikimbu.[2][3]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Kimbu Tribe | Mbeya Cultural Tourism » Travel information (en-US). Travel information. Iliwekwa mnamo 2024-01-13.
  2. Kimbu | people | Britannica (en). www.britannica.com. Iliwekwa mnamo 2024-01-13.
  3. Shorter, Aylward (1969). "Religious Values in Kimbu Historical Charters". Africa: Journal of the International African Institute 39 (3): 227–237. ISSN 0001-9720. doi:10.2307/1157994. 
Makala hii kuhusu utamaduni wa Tanzania bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Wakimbu kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.