Wakw'adza

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Wakw'adza (au Quadza) walikuwa kabila la watu wa wilaya ya Mbulu, katika mkoa wa Manyara, Tanzania Kaskazini.

Baada ya lugha yao kukoma mwishoni mwa karne ya 20, haieleweki kama kuna watu wanaojiona kuwa wa kabila hilo. Ndugu zao wa jirani ni Wairaq.

Makala hii kuhusu utamaduni wa Tanzania bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Wakw'adza kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.