Wanyasa

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Wanyasa ni kabila la watu wanaoishi hasa upande wa kaskazini mashariki wa ziwa Nyasa, kati ya nchi za Malawi, Tanzania na Msumbiji[1]. Pengine wanaitwa pia Wamanda[1].

Mwaka 2010 walikadiriwa kuwa 500,000[2].

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. 1.0 1.1 Yakan, Muḥammad Zuhdī (1999). Almanac of African Peoples & Nations. Transaction Publishers. p. 580. ISBN 978-1-56000-433-2. Retrieved 28 August 2012. 
  2. Appiah, Anthony; Gates, Henry Louis (17 February 2010). Encyclopedia of Africa. Oxford University Press. p. 259. ISBN 978-0-19-533770-9. Retrieved 28 August 2012. 
Makala hii kuhusu utamaduni wa Tanzania bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Wanyasa kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.