Waikoma
Mandhari
Waikoma ni kabila la watu wa Tanzania wanaoishi katika Mkoa wa Mara (wilaya ya Serengeti na wilaya ya Butiama).
Lugha yao ni Kiikoma, jamii ya lugha za Kibantu.
Familia za Waikoma zimegawanyika katika milango minane (Bhehita 8).
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]| Makala hii kuhusu utamaduni wa Tanzania bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Waikoma kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |