Wilaya ya Manyoni

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru


Manyoni
Manyoni is located in Tanzania
Manyoni
Manyoni

Mahali pa Manyoni katika Tanzania

Majiranukta: 5°45′17″S 34°49′47.5″E / 5.75472°S 34.829861°E / -5.75472; 34.829861
Nchi Tanzania
Mkoa Singida
Wilaya Manyoni
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 279,069

Wilaya ya Manyoni ni wilaya mojawapo kati ya 7 za Mkoa wa Singida yenye msimbo wa posta 43400.

Katika sensa ya mwaka 2012, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 296.763 [1]. Katika sensa ya mwaka 2022 walihesabiwa 279,069 [2] baada ya mwaka 2015 maeneo ya Wilaya ya Itigi kutengwa na wilaya ya Manyoni[3].

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya Nje[hariri | hariri chanzo]

Kata za Wilaya ya Manyoni - Mkoa wa Singida - Tanzania

Chikola | Chikuyu | Heka | Isseke | Kintinku | Majiri | Makanda | Makuru | Makutupora | Manyoni | Maweni | Mkwese | Muhalala | Nkonko | Sanza | Saranda | Sasajila | Sasilo | Solya


Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Singida bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Wilaya ya Manyoni kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Usitaje majina ya madiwani na viongozi au maafisa wengine wa sasa maana wanabadilika haraka mno.