Orodha ya nchi za Afrika
Mandhari



Orodha ya nchi huru na maeneo barani Afrika inafuata kanda za Afrika jinsi zilivyopangwa na Umoja wa Afrika. Majina ya nchi hutajwa pamoja na maeneo yanayotawaliwa na nchi nje ya Afrika au ambayo yamekuwa sehemu kamili ya nchi nje ya Afrika.
Mpangilio wa nchi kwa kanda za kaskazini, magharibi, mashariki, kati na kusini hufuata mfumo wa Kanda za nchi za Umoja wa Mataifa.
Afrika ya Kaskazini
[hariri | hariri chanzo]| Bendera | Nchi | Mji Mkuu | Idadi ya Watu | Mji Mkubwa | Lugha Rasmi | Eneo (km²) | Msongamano (kwa km²) |
|---|---|---|---|---|---|---|---|
| Aljeria | Algiers | 46,164,219 | Algiers | Kiarabu, Kiberber | 2,381,741 | 19 | |
| Libya | Tripoli | 7,260,000 | Tripoli | Kiarabu | 1,759,541 | 4 | |
| Mauritania | Nouakchott | 4,800,000 | Nouakchott | Kiarabu | 1,030,700 | 5 | |
| Misri | Cairo | 114,535,772 | Cairo | Kiarabu | 1,010,408 | 113 | |
| Moroko | Rabat | 37,712,505 | Casablanca | Kiarabu, Kiberber | 710,850 | 53 | |
| Tunisia | Tunis | 12,048,847 | Tunis | Kiarabu | 163,610 | 97 |
Afrika ya Magharibi
[hariri | hariri chanzo]| Bendera | Nchi | Mji Mkuu | Idadi ya Watu | Mji Mkubwa | Lugha Rasmi | Eneo (km²) | Msongamano (kwa km²) |
|---|---|---|---|---|---|---|---|
| Benin | Porto-Novo | 14,111,034 | Cotonou | Kifaransa | 114,763 | 123 | |
| Burkina Faso | Ouagadougou | 23,025,776 | Ouagadougou | Kifaransa | 274,200 | 84 | |
| Faili:Flag of Cabo Verde.svg | Cabo Verde | Praia | 605,000 | Praia | Kireno | 4,033 | 150 |
| Kodivaa | Yamoussoukro | 31,165,654 | Abidjan | Kifaransa | 322,463 | 97 | |
| Gambia | Banjul | 2,701,000 | Serekunda | Kiingereza | 10,689 | 253 | |
| Ghana | Accra | 33,787,914 | Accra | Kiingereza | 238,533 | 142 | |
| Guinea | Conakry | 14,405,465 | Conakry | Kifaransa | 245,857 | 59 | |
| Guinea-Bissau | Bissau | 2,059,000 | Bissau | Kireno | 36,125 | 57 | |
| Liberia | Monrovia | 5,180,000 | Monrovia | Kiingereza | 111,369 | 47 | |
| Mali | Bamako | 23,769,127 | Bamako | Kifaransa | 1,240,192 | 19 | |
| Niger | Niamey | 26,159,867 | Niamey | Kifaransa | 1,267,000 | 21 | |
| Nigeria | Abuja | 227,882,945 | Lagos | Kiingereza | 923,768 | 247 | |
| Senegal | Dakar | 18,077,573 | Dakar | Kifaransa | 196,722 | 92 | |
| Sierra Leone | Freetown | 8,300,000 | Freetown | Kiingereza | 71,740 | 116 | |
| Togo | Lomé | 8,700,000 | Lomé | Kifaransa | 57,000 | 153 |
Afrika ya Kati
[hariri | hariri chanzo]| Bendera | Nchi | Mji Mkuu | Idadi ya Watu | Mji Mkubwa | Lugha Rasmi | Eneo (km²) | Msongamano (kwa km²) |
|---|---|---|---|---|---|---|---|
| Kamerun | Yaoundé | 28,372,687 | Douala | Kifaransa, Kiingereza | 475,442 | 60 | |
| Jamhuri ya Afrika ya Kati | Bangui | 5,450,000 | Bangui | Kifaransa, Kisango | 622,984 | 9 | |
| Chad | N'Djamena | 19,319,064 | N'Djamena | Kifaransa, Kiarabu | 1,284,000 | 15 | |
| Jamhuri ya Kongo | Brazzaville | 6,750,000 | Brazzaville | Kifaransa | 342,000 | 20 | |
| Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo | Kinshasa | 105,789,731 | Kinshasa | Kifaransa | 2,344,858 | 45 | |
| Guinea ya Ikweta | Malabo | 1,635,000 | Bata | Kihispania, Kifaransa, Kireno | 28,051 | 58 | |
| Gabon | Libreville | 2,407,000 | Libreville | Kifaransa | 267,667 | 9 |
Afrika ya Mashariki
[hariri | hariri chanzo]Afrika ya Kusini
[hariri | hariri chanzo]| Bendera | Nchi | Mji Mkuu | Idadi ya Watu | Mji Mkubwa | Lugha Rasmi | Eneo (km²) | Msongamano (kwa km²) |
|---|---|---|---|---|---|---|---|
| Angola | Luanda | 36,749,906 | Luanda | Kireno | 1,246,700 | 29 | |
| Botswana | Gaborone | 2,500,000 | Gaborone | Kiingereza, Kitswana | 581,730 | 4 | |
| Eswatini | Mbabane (admin.), Lobamba (leg.) | 1,216,000 | Manzini | Kiingereza, Kiswati | 17,364 | 70 | |
| Lesotho | Maseru | 2,174,000 | Maseru | Kiingereza, Sesotho | 30,355 | 72 | |
| Namibia | Windhoek | 2,700,000 | Windhoek | Kiingereza | 824,292 | 3 | |
| Pretoria, Cape Town, Bloemfontein | Johannesburg | 63,212,384 | Lugha rasmi 11 | 1,221,037 | 52 | ||
| Zambia | Lusaka | 20,723,965 | Lusaka | Kiingereza | 752,618 | 28 | |
| Zimbabwe | Harare | 16,340,822 | Harare | Kiingereza, Shona, Ndebele | 390,757 | 42 |


Maelezo
[hariri | hariri chanzo]- Kanda zinazotajwa (Afrika ya Kusini – Magharibi n.k.) zinafuata utaratibu wa Umoja wa Mataifa UN categorisations/map.
- Misri imo Afrika lakini sehemu ya eneo lake iko Asia ya Magharibi. Wengine huiita nchi ya kimabara.
- Visiwa vya Kanari ni sehemu ya Hispania ikiwa Las Palmas de Gran Canaria pamoja na Santa Cruz de Tenerife ndiyo miji mikuu pamoja mara nyingi huhesabiwa kuwa sehemu ya Afrika ya Kaskazini; viko karibu na Moroko and Sahara ya Magharibi; wakazi na eneo vya 2001.
- Mji wa Ceuta ni eneo la Hispania ufukoni wa Bahari ya Mediteraneo ikizungukwa na nchi ya Moroko; wakazi na eneo ni ya 2001.
- Visiwa vya Madeira ni sehemu ya Ureno, mara nyingi huhesabiwa kuwa sehemu ya Afrika ya Kaskazini viko karibu na Moroko; wakazi na eneo vya 2001.
- Mji wa Melilla ni eneo la Hispania ufukoni wa Bahari ya Mediteraneo ikizungukwa na nchi ya Moroko; wakazi na eneo ni ya 2001.
- Bloemfontein ndiyo makao ya Mahakama Kuu ya Afrika Kusini, Cape Town ni makao ya Bunge, Pretoria ni makao makuu ya serikali.
- Yamoussoukro ndiyo rasmi Mji Mkuu wa Côte d'Ivoire lakini Abidjan ni makao ya serikali hali halisi.
- Sahara ya Magharibi imetekwa na kutawaliwa kwa sehemu kubwa na Moroko hali isiyokubalika na jumuiya ya kimataifa